Sunday, January 27, 2013

KUMALIZA MWAKA

Tunamshukuru Mungu tumeweza kumaliza mwaka kwa kuwa na mikesha miwili.Mikesha hiyo ilifanyika Retreat centre SAUT tarehe 8/12/2012 na tarehe 15/12/2012.Masomo yaliyofundishwa yatakuwa yanapatikana katika blog hii mapema iwezekanavyo.Tunawashukuru wote walioweza kuhudhuria na kushiriki,MUNGU ATUBARIKI SOTE.

No comments:

Post a Comment