Tunamshukuru Mungu tumeweza kumaliza mwaka kwa kuwa na mikesha miwili.Mikesha hiyo ilifanyika Retreat centre SAUT tarehe 8/12/2012 na tarehe 15/12/2012.Masomo yaliyofundishwa yatakuwa yanapatikana katika blog hii mapema iwezekanavyo.Tunawashukuru wote walioweza kuhudhuria na kushiriki,MUNGU ATUBARIKI SOTE.
No comments:
Post a Comment