Semina ya Roho Mtakatifu imeanza jumapili tarehe 27/01/2013 katika mkutano wa sala wa vijana Nyajahoja saa sita mpaka nane mchana.
Yaliyofundishwa:
1.Roho Mtakatifu ni nani
2.Kubatizwa katika Roho Mtakatifu
3.Aina za Roho
4.Kazi za Roho Mtakatifu.
Semina hii itaendelea tena jumapili ijayo tarehe 03/02/2013.
Karibuni wote tuendelee kupata mafundisho yatakayotujenga na kutuimarisha kiroho.
No comments:
Post a Comment