Wednesday, December 5, 2012

SIKU YA KUSHUKURU

Tunamshukuru Mungu tuliweza kuandaa na kufanya siku ya kumshukuru Mungu vijana.siku hiyo ilikuwa tarehe 4/11/2012 na ilifanyika chuo cha Butimba.
Shukrani ziwafikie wote waliofanikisha shughuli hiyo.
Mungu atubariki sote

No comments:

Post a Comment