1. Rum 12:1-2
i)Mungu kwa huruma yake atupatie neema/atuwezeshe kuitoa miili yetu iwe dhabihu iliyo hai kwake Mungu.
ii)Tufanywe upya nia zetu
iii)Thue mapenzi ya Mungu katika mambo yote
2.Efe 6:10-18
i)Utayari wa kufanya kazi ya Mungu wakati wote -ufaao na usiofaa
ii)Utayari wa kuomba msaada wa Roho Mtakatifu kila wakati na kutembea nae katika yote.
iii)Tuweze kutumia vema karama tulizopewa katika huduma tunazopewa kwa sifa na utukufu wa jina lake
3.Watendakazi katika shamba la Bwana
4.Nidhamu katika maombi Efe 6:10-19
5.Yoh 17 Mungu atupe umoja,ulinzi na utukufu wake Mungu viwe pamoja nasi
6.Siku ya kushukuru itakayofanyika mwezi wa 10
No comments:
Post a Comment